Mbio za kumkumbuka askofu wa jimbo la eldoret marehemu Cornelius korir imezinduliwa rasmi hii Leo na padre mkuu William kosgei.
Akizungumza
na wanahabari padre kosgei kwa niaba ya askofu msimamizi wa jimbo hilo
la Eldoret Maurice Anthony crawley ametoa mwaliko kwa wananchi kwa
ujumla kuweza kujitokeza kushiriki katika mbio hizo za nyika
zitakazoandaliwa katika uwanja wa sports club mjini eldoret tarehe 2
mwezi wa kumi na moja Mwaka huu.
Usajili
wa mbio hizo vilevile utawajumuisha wanafunzi ambapo kitengo cha kwanza
ni wanafunzi wa kati ya miaka 6 na 10, na wale wa miaka kati ya 12-15,
wale wa shule za upili wavulana kwa wasichana, timu za parokia wanaume
kwa wanawake.
Kwa
wale watu tajika katika jamii watahitajika kulipia kima cha shilingi
mia tano kwa kila mtu wakti kila kundi likitarajiwa kuwa na watu sita
huku parokia zikipewa nafasi kuwa na idadi kubwa.
About KELVIN WILLIAMS
Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.