Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

Ndege ya kampuni ya Silverstone ya tua ghafla kuepuka ajali Eldoret

Ndege ya Silverstone imetua kwa dharura katika uwanja wa ndege wa Eldoret baada ya gurudumu moja kuanguka wakati ndege hiyo ilipokuwa ikipaa katika uwanja wa Lodwar ikielekea Nairobi. 

Akithibitisha hayo Kamanda wa polisi wa kaunti ya Uasin Gishu Johnstone Ipara amesema kuwa walipokea ripoti kutoka Lodwar kuwa ndege hiyo ya Silverstone ingetua Katika uwanja wa Ndege wa kimataifa ya Eldoret baada ya gurudumu hilo kuanguka.

Amesema kuwa, hakuna majeruhi wameripotiwa na kuwa abiria wote wako salama huku akiwashutumu wanaoeneza propaganga kuhusu tukio hilo. Ata hivyo, amempa kongole rubani aliyeakikisha ndege hiyo ilitua salama pamoja na wahusika wengine

About KELVIN WILLIAMS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.