Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

Wakaazi wakosa umeme kwa miezi tano-Kinangop kaunti ya Nyandarua

Wakazi wa Memo eneo bunge la  Kinangop wanaiomba serikali kwa ushirikiano na shirika LA kusambaza nguvu za umeme KPLC kutengeneza transfoma ambayo ilikuwa ikisambaza umeme katika eneo hilo iliyiharibika miezi mitano iliyopita.
 

Licha ya wakazi hawa kuomba usaidizi kwa viongozi wa eneo bunge hilo hawajapata usaidizi wowote jambo ambalo limewafanya kurudi nyuma kimaendeleo kwani miradi walioanzisha ambayo huhitaji stima sasa imesitishwa.
Wanasema kuwa ukosefu wa nguvu za umeme umechangia visa vya uhalifu huku wahalifu wakitumia giza kuwapora wakaazi.
Vile vile wamesema kuwa wanakosa huduma muhimu zinazohitaji nguvu za umeme huku wakaazi walio na biashara katika maeneo hayo pia wakikosa riziki yao ya kila siku

About KELVIN WILLIAMS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.