Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

Breaking news MOTO!!!

Wakaazi kwenye eneo la Gituamba kwenye wadi ya Kiamaina wamewalaumu maafisa Wa zimamoto kwenye kaunti ya Nakuru, kwa kukosa kufika katika eneo la mkasa wa moto eneo hilo.
Hii ni baada ya Nyumba moja eneo la Gituamba kuteketea bila chochote kuokolewa.
Kulingana na mwakilishi wadi hiyo Wahome Gathitu, chanzo cha moto huo huenda kulitokana na simu ambayo iikuwa imeachwa kuchaji(charging) ndani ya nyumba hiyo.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.