Iwapo wewe ni mfugaji wa Ng'ombe nchini Uganda basi
utahitaji kuwatafutia vyeti vya kuzaliwa.Taaarifa hii
imetolewa serikali nchini humo kupitia kwa waziri wa Kilimo Vincent
Sempija. Amezungumza wakati alipohudhuria maonyesho ya kilimo kwenye uwanja wa
Nile mjini Jinja. Gazeti moja la Daily Monitor nchini humo limesema kuwa
waziri huyo anadai kuwa nyama kutoka Uganda imekuwa ikikataliwa katika mataifa
ya kizungu.
About VANTAGE MUSIC RECORDS
Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.