Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

NAIVASHA-Gavana Mike Sonko ameitaka serikali kuu kufufua kampuni ya Karuturi mjini Naivasha



Gavana wa Nairobi Mike Sonko amesema kufungwa kwa viwanda na kampuni za maua kumeadhiri pakubwa uchumi wa mji wa Naivasha.
Akizungumza baada ya kuzuru mji huo, Sonko ametaja kufungwa kwa kampuni ya maua ya Karuturi kama pigo kubwa huku takriban watu elfu nne wakipoteza kazi.
Kutokana na hayo, gavana huyo amesema atafanya kikao na Rais Uhuru Kenyatta kwa madhumuni ya kuona jinsi kampuni hiyo inaeza fufuliwa na vile vile kusema eneo linalojengwa la viwanda mjini humo linafaa kuwaajiri kazi wakazi wa mji huo ili wote wanufaike na miradi ya serikali.
Naye mwenyekiti wa chama cha Jubilee mjini humo James Karimi amesema wote wameungana ili kuhakikisha ajenda nne za serikali zimefaulu.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.