Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

Serikali ya uswizi pamoja na zile za kaunti za Narok na Nakuru zimetia mkataba wa makubaliano wa shilingi milioni mia saba zinazolenga kutoa mafunzo kwa wakongwe wa maeneo ya Lapland na Suswa.


Pesa hizo ambazo zitatolewa kwa shirika lisilo la kiserikali la ForumSyd zitapelekea serikali hiyo kutoa asilimia 63 ya pesa huku zile za kaunti zikitoa masalio kwenye mradi wa miaka minne.
Kulingana na mkuu mpanga ratiba wa shirika hilo Jackson Obare, maeneo hayo mawili na ambayo ni makazi ya jamii ya wafugaji yalikuwa yakiongoza kwenye takwimu za wale ambao hawajasoma huku wakilenga kuinua haliya masomo eneo hilo.
Kwa sasa jumla ya walimu 25 wameajiriwa ili waweze kutoa mafunzo kwa wakongwe eneo hilo pamoja na kuwafunza vijana kuhusu kujiimarisha kimaisha kwa kuanzisha kazi ndogo ndogo.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.