Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

Takiban wafanyakazi elfu 25,000 wa umma kupoteza kazi zao iwapo hoja ya kubadilisha umri wa kustaafu itajadiliwa na kupitishwa na bunge.

Huenda wafanayakazi  wa umma takiban elfu 25 wakapoteza  kazi zao iwapo hoja ya  kubadilisha umri wa kustaafu kazi unaopendekezwa na mbunge wa starehe Charsle Njagwa  itajadiliwa na kupitishwa na bunge.
Kwenye hoja hiyo mbunge huyo anapendekeza kuwa umri wa kustaafu unafaa kuwa miaka 50  wala sio 60 kama ilivyo kwa sasa.
Mnamo mwaka wa 2016  tume ya wafanayazi  wa umma PSC  ilisema kuwa asilimia 31 ambayo inaashiria wafanyakazi elfu 25 wamehitimu umri zaidi ya mika 50 idadi ambayo huenda imeongezeka kufikia sasa.
Katika hoja yake,Njangwa anasema hiyo ndio njia bora pekee ya kusuluhisha tatizo la ukosefu wa kazi miongoni mwa vijana wa humu nchini huku ikibainika kuwa takriban asilmia 75 ya wakenya ni vijana chini ya umri wa miaka 35 na wengi wao hawana kazi.
Ameongeza kuwa jumla ya maafala elfu 800 kufuzu kila mwaka lakini wanaopata kazi huwa chini ya elfu 70

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.