Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

Usafiri watatizika kwenye barabara kuu ya kuelekea kusini mwa ziwa la Naivasha kufuatia maandamano

Shughuli za usafiri kwenye barabara kuu ya kuelekea kusini mwa ziwa la Naivasha zimekwama kwa siku ya pili mfululizo baada ya wakazi wa maeneo ya karagita, Kamere, DCK, Kwa Muhia na Kongoni kuifunga wakitaka ikarabatiwe.
Wengi waliokuwa wakielekea kazini hususan katika mashamba ya maua hawakufanya hivyo huku barabara hiyo ikifungwa mapema kwa mawe na kuchomwa kwa magurudumu ya magari.
Aidha juhudi za polisi zwa kuzima ghasia za kujaribu kurejesha hali ya kawaida hazikufua dafu kwani walizidiwa na wakazi waliojawa na hasira licha ya hata kuwatupia vitoa machozi na kufyatua risasi kadhaa hewani.
Mkazi mmoja Amos Kimani amesema wataendelea kuifunga barabara hiyo na kuhalalisha shughuli za usafiri hadi pale serikali itaamua kuitengeneza upya.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.