Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

Barabara inayoelekea kusini mwa ziwa la Naivasha kukarabatiwa upya-Serikali yasema

Serikali sasa imelegeza kamba na kusema kuwa barabara inayoelekea kusini mwa ziwa la Naivasha itakarabatiwa upya huku mwanakandarasi akitumwa katika kipindi cha wiki tatu zijazo.
Hii ni kufuatia maandamano ya wakazi ya siku mbili mfululizo huku shughuli za kawaida zikihalalishwa na wafanyibiashara wengi kukadiria hasara kubwa.
Huku akikiri kuwa mgomo huo uliadhiri pakubwa huduma muhimu, naibu wa kamishan wa kaunti ndogo ya Naivasha Mbogo Mathioya amesema mwanakandarasi huyo atafika mnamo tarehe 15 mwezi ujao tayari kuanza kazi hiyo.
Haya yamejiri huku zaidi ya wafanyikazi 5,000 wakikosa kufika kazini katika maeneo ya Olkaria na kampuni za maua huku waajiri hao wakisema mgomo uliokuwepo ulileta madhara makubwa.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.