Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

Wanafunzi waandamana kufuatia ukosefu wa maji shuleni-Elgeiyo Marakwet

Waziri  wa mazingira, maji na raslimali za kiasili katika kaunti ya Elgeyo Marakwet Abraham Barsosio amelaumu usimamizi wa shule ya wasichana ya  Mokwo katika kaunti ndogo ya Keiyo Kusini baada ya wao kuandamana kufuatia uhaba wa maji .
Akiongea na wanahabari mjini Iten,waziri huyo amegadhabishwa na hatua hiyo na kuwa changamoto ya uhaba wa maji imesababisha wanafunzi hao kuandamana.
Barsosio amemnyoshea kidole cha lawama mkuu wa shule hiyo akisema kuwa maeshindwa kutafuta suluhu la kudumu kufuatia uhaba wa maji katika shule hiyo.
Wanafunzi wa shule hiyo waliandamana usiku wa jana huku mkuu wa shule hiyo Agnes Kigunda akisema kuwa kumeshuhudiwa mzozo wa maji baina ya shule hiyo na wenyeji.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.