Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

Mbunge wa Giglil Martha Wangari sasa amemtaka aliyekuwa mumewe Peter Karanja kusimamishwa kutowaona watoto wao wawili kutokana na kesi inayomkabili kwa sasa.

Mbunge wa Giglil Martha Wangari sasa amemtaka aliyekuwa mumewe Peter Karanja kusimamishwa kutowaona watoto wao wawili kutokana na kesi inayomkabili kwa sasa.
Kwenye maombi yaliyowasilishwa mahakamani na wakili wa mbunge huyo George Kimani, Wangari amesema watoto wao wanakumbana na matatizo ya kiakili baada ya kuona baba yao alikuwa na kesi ya mauaji ya mfanyibiashara Tob Cohen.
Wangari aidha ameitaka mahakama hiyo kumshurutisha Karanja kilipa shilingi 270,000 za kushughulikia mahitaji ya watoto wao wawili pamoja na kulipa karo za shule.
Huku akifika mbele ya hakimu mkuu wa Naivasha Joseph Karanja, mbunge huyo amesema mumewe wa zamani asiruhusiwe kuwaona watoto wake hadi pale kesi inayomkabili itasikiziwa na kukamilishwa.

About KELVIN WILLIAMS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.