Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI AUAWA ENEO LA LIMURU KAUNTI NDOGO YA SUBUKIA



Mwili wa mwanafunzi mmoja wa kike wa kidato cha pili umepatikana kitandani mwake katika kijiji cha Limuru wadi ya Waseges kaunti ndogo ya Subukia, ukiwa na dalili za kunyongwa na anayekisiwa kuwa mpenziwe marehemu.

Marehemu ni mwanafunzi katika shule ya upili ya Keriko na mshukiwa anadaiwa kutekeleza kitendo hicho wakati mvua ikinyesha, na kisha kutoroka muda mfupi baadaye.

Akidhibitisha tukio hilo mwakilishi wadi hiyo Daniel Kiriethe Ndigirigi, ametoa wito kwa maafisa wa polisi kusaidia kwa kupeleka mbwa wa kunusa katika eneo la mkasa, ili kumnasa mtuhumiwa ambaye amekwenda mafichoni.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.