Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

Shirika la Kengen ladhibiti mtombo uliowaua wafanyikazi wawili


Shirika la Kengen  linasema limedhibiti tatizo lililokuwepo wakati mashine moja ya kutoa kawi ya mvuke ililipuka na kuwaumia wafanyikazi tisa katika eneo la Olkaria mjini Naivasha.
Kwenye taarifa kwa vyombo vya habari, mkurugenzi mkuu wa shirika hilo Rebecca Miano amesema kuwa mashine hiyo ilikuwa ikikaguliwa kabla ya kawi iliyokuwa ikitoa iunganishwe na gridi ya kitaifa na kuongeza kuwa hatua hiyo imerekebishwa.
Miano aidha amesema kuwa mashine hiyo ilikuwa ikiangaliwa ili iweze kuongea kawi inayotoa kutoka megawati 43 hadi megawati 65 wakati wa tukio hilo na vile vile kusema walikuwa wamejitolea ili kuhakikisha kuwa azimio lao la kupata takriban megawati 165 katika kipindi cha miaka miwili itatimia.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.