Vijana hao wamewaadhibu Morocoo alama 96 kwa 66 mbele ya kadamnasi kwenye nusu fainali ya kwanza.
Nyota wa Kenya Eric Mundoro alikuwa alionesha mchezo mzuri na kufunga vikapu 29.
Timu hiyo sasa itamenyana na DRC katika fainal kesho usiku na itakuwa mara ya pili timu hizo mbili kupepetana baada ya kutoa kijasho kwenye hatua ya makundi.
About VANTAGE MUSIC RECORDS
Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.