Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

NAIROBI-Baraza la magavana laomba radhi baada ya kudukuliwa kwa mtandao wao wa Twitter na kupachika ujumbe wa mahaba



Baraza la magavana limelazimika kupeana ujumbe wa kuniradhi baada ya mtandao wao wa twitter kudukuliwa na kupasisha ujumbe wa kimapenzi.
Inakisiwa kuwa ujumbe huo ulitumwa na mtu aliye na idhini ya kuandika kwenye ukrasa huo kwa niaba ya magavana.
Ni kisa kilichotokea jana mwendo wa saa mbili usiku huku baraza hilo likiahidi kukabili hali hiyo 
Ujumbe huo wa tritter ulitoka kwa raia wa Jamaica kwa jina  Kimone Pitterson na anayedhaniwa alikuwa na lengo la kufunza watumiaji wa mitandao lugha ya mahaba.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.