Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

BARINGO:Serikali yatakiwa kutenga bajeti ya watoto walioko katika hifadhi ya watoto ili kufadhili masomo yao

Wanaharakati wa kisiasa na maswala ya kijamii katika kaunti ya Baringo wanaitaka serikali kuhakikisha kwamba watoto walio katika hifadhi ya watoto wanapokea mgao wa fedha za kufadhili masomo.
Wakiongozwa na Mark Kibenei na Bonface Lesaris kutoka eneobunge la Baringo Kusini,viongozi hao wanasema bunge la kitaifa na la Seneti lina jukumu la kubuni sheria za kuhakikisha kwamba sheria ya kulinda haki za watoto ambao wanategemea wahisani pia wanazingatiwa kikamilifu kwa basari,na pia ufadhili wa elimu ya juu.
Ni suala linalokuja baada ya vingozi hao kutembelea makao ya watoto ya Sunrise mjini Kabarnet ambapo usimamizi wa taasisi hiyo inasema watoto wenye mahitaji wanazidi kuongezeka,na kuadhiri uwezo wa taasisi hiyo kukimu mahitaji zao za kismingi kama vile chakula,mavazi na pia elimu.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.