Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

ELBURGON:Mbwa wanaozurura ovyo katika maeneo ya Kasarani, Mwatu na Eastleigh wamegeuka kuwa kero

Wakazi wa maeneo ya Kasarani, Mwatu na Eastleigh katika eneo la Elburgon wameitaka serikali ya kaunti ya Nakuru kudhibiti mbwa wanaozurura ovyo katika eneo hilo kila kukcha.
Kulingana na mkazi Ann Mugure, mzee mwenye umri wa makamo aliumwa na mbwa hao siku ya Jumamosi.
Mugure amesema chanjo dhidi ya kichaa cha mbwa ni ghali mno. Wakazi hao wanadai kuwa wamiliki wa mbwa hao wamekuwa wakiwaacha kuzurura ovyo mitaani.
Sasa wametishia kuchukua hatua mikononi mwao kukabiliana na wanyama hao iwapo serikali ya kaunti itaingilia kati.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.