Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

NAKURU;Wanafunzi huenda wakaathirika na oparesheni ya kuhamisha wakaazi kwenye msitu wa Mau

Mwakilishi wa kina mama kaunti ya Nakuru Liza Chelule ameirai serikali kupitia waziri wa mazingira Keriako Tobiko kusitisha mpango wa kufurusha zaidi ya familia elfu sitini kutoka msitu wa Mau.
Akiongea katika eneo la Keringet, Kuresoi Kusini kiongozi huyo amesema huenda hatua hiyo ikaadhiri wanafunzi ambao watafanya mtihani wa kitaifa KCPE na KCSE.
Chelule amesema kwa sasa suala hilo limezua hofu kwani bado haijabainika vizuri mstakabali wa watu watakaofurushwa kutoka mditu huo.
Vile vile amesema viongozi wa bonde la ufa wamejaribu juhudi kadha kwa msukumo kutoka kwa wananchi.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.