Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

BOMET-Dkt.Hillary Barchock sasa ndiye gavana wa Bomet




Daktari Hillary Barchok sasa ndiye Gavana wa Bomet, baada ya  kuapishwa mapema leo katika shuguli ambayo   imeongozwa na Jaji wa Mahakama Kuu ya Kericho George Dullu

Shughuli hiyo katika uwanja wa Green Stadium Mjini Bomet imehudhuriwa na viongozi kadhaa akiwemo Naibu wa Rais William Ruto,Mwenyekiti wa Baraza la Magavana Wycliff Oparanya na baadhi ya mawaziri.

Wadhifa huo ulisalia wazi kufuatia kifo cha Joyce Laboso ,aliyefariki dunia tarehe 29 Julai kufuatia saratani ya yai la kizazi. Laboso alizikwa tarehe 3, Agosti nyumbani kwake eneo la Koru Kaunti ya Kisumu.
Hayo yanajiri, huku shinikizo likizidi kutolewa na Barchok kuhakikisha kwamba anamchagua mwanamke kuchukua nafasi ya Naibu gavana.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.