Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

Ukusanyaji wa ushuru katika kaunti ya Nakuru umefikia shilingi bilioni 2.8 katika kipindi cha matumizi ya fedha za serikali cha mwaka uliopita.



Ukusanyaji wa ushuru katika kaunti ya Nakuru umefikia shilingi bilioni 2.8 katika kipindi cha matumizi ya fedha za serikali cha mwaka uliopita.
Haya yamejiri huku serikali hiyo ikipania kuweka mashine za kidijitali katika maeneo yote ya ukusanyaji fedha kama njia moja ya kumaliza ufisadi na kuongezea mapato yako.
Kwa mujibu wa waziri wa fedha wa kaunto hiyo Dkt Peter ketyenya, mwaka huu wanalenga kukusanya shilingi bilioni 2.6 na kuongeza walikuwa wakifanya mazungumzo na shirika la ukusanyaji ushuru nchini KRA ili kuweza kubuni bodi sawia ya kaunti ya Nakuru.
Akizungumza wakati wa mkutano na maafisaa wakuu wa idara ya fedha katika hoteli moja mjini Naivasha, Ketyenya amesema kaunti hiyo ilikuwa ikipania kubuni sheria mpya itakayoangalia tena ada zinazotozwa mashamba katika kila kaunti ndogo kumi na moja za kaunti hiyo.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.