Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

NYANDARUA-Sheria mpya ya upakiaji viazi yabuniwa kwa wakulima na wafanyabiashara Nayandarua na Nakuru



Wakulima wa viazi katika kaunti ya Nyandarua sasa wametaka wenzao kutoka kaunti zingine kuanza kutekeleza sheria mpya ya kupakia viazi kwenye magunia ya kilo hamsini.
Kulingana na mkurugenzi wa bodi ya kiwanda cha Midlands kilichoko eneo la Njambini huko Kinangop Matheri Wahungu, wakulima walioanza kutekeleza sheria hiyo wanakadiria hasara kwani mazao yao hayanunuliwi kwenye soko.
Wahungu anasema  kuwa hatua ya utekelezaji wa sheria hiyo utapelekea wakulima wengi kunufaika na jasho lao hususan msimu huu ambapo viazi zinapatikana kwa wingi.
Akizungumza na wanahabri mjini Naivasha, mkurugenzi huyo aidha amesema serikali ya kitaifa ilifaa kusaidiana na zile za kaunti zinazokuza viazi ili kuona kuwa wakulima wamepata faida ya zao hilo kama njia moja ya kuboresha ukulima huo.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.