Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

BOMET-Hillary Barchok ataapishwa kuwa gavana mpya wa kaunti ya Bomet kesho



Naibu gavana wa kaunti ya Bomet Hillary Barchok ataapishwa kesho rasmi kama gavana wa kaunti hiyo kufuatia kifo cha gavana Joyce Laboso aliyezikwa juma lililopota.
Katika hafla hiyo itakayo andaliwa kwenye  makao makuu ya kaunti hiyo mjini Sotik ,Naibu wa Rais Dkt.William Ruto ameratibiwa kuwa miongoni mwa watakaoshuhudia.
Jaji wa mahaka kuu ya Kericho George Dullu anatarajiwa kumwapisha Barchok.
Haya ni kwa mjibu wa katibu mkuu wa kaunti hiyo Evelyne Rono.
Barchok atakuwa gavana wa tatu wa kaunti hiyo baada ya marehemu Laboso na mtangulizi wake Isaac Rutto.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.