Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

BUNGENI-Mwakilishi wa kike kaunti ya Kwale Zuleika Hassan atatiza kikao cha bunge la taifa mapema leo



Kikao cha  bunge la kitaifa vimesambaratishwa mapema leo kwa muda baada ya  mwakilishi wa kike kaunti ya Kwale Zuleika Hassan kuingia bungeni na mtoto wake mwenye umri wa miezi mitano.
Kwa mjibu wa Christopher Omulele aliyekuwa akihudumu kama spika wa kikao hicho,mwakilishi huyo alivunja kanuni za bunge kwa kuingia na mtoto huyo bungeni.
Hatua hiyo ilimlazimu kuitisha usaidizi kutoka kwa maafisa wa usalama bungeni kumwondoa mwakilishi huyo nje baada ya kudinda kuitikia agizo la spika.
Aidha baadhi ya wabunge waliunga mkono mwakilishi huyo huku wakidokeza kuwa hakua amekosea kwa kuja na mwanawe.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.