Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

NAIROBI-Sehemu ya barabara kuu ya Thika Super highway kufungwa kwa mwezi mmoja



Mamlaka ya usimamizi wa barabara kuu mijini  KURA inalenga kufunga sehemu barabara kuu ya Thika  kwa muda wa mwezi mmoja ili kutoa nafasi ya ukarabati wa kuipanua.
Kwa mjibu wa KURA usafiri katika barabara hiyo unatarajiwa kutatizika haswa katika eneo la Ruaraka  kuanzia leo.
Wahudumu wa magari na umma kwa ujumla  wametakiwa kuridhia mabadiliko hayo ili kupunguza  msongamano unaoshuhudiwa katika barabara hio mara kwa mara haswa eneo la ALSOAPS karibu na makao makuu ya polisi wa GSU
Kufuatia hilo idara ya trafiki imetoa wito kwa  madereva kuzingatia  ipasavyo alama za trafiki zilizoezekwa katika sehemu mbalimbali za barabara hiyo ili kuzuia uwezekano.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.