VANTAGE MUSIC RECORDS

  • Sports
  • About
  • Gospel Updates
  • Celebrities
  • Reportersy
  • Team SuperStarke
  • Facebook
  • Youtube
  • Google
  • Instagram
  • Dan Otieno
  • News Updates
  • Our Artist
  • Breaking
Categories
    • Product 1
    • Product 2
    • Product 3
    • Product 4
    • Product 5
    • Product 6
    • Product 7
    • Product 8
Powered by Blogger.

Header Ads


  • Home
  • /
  • BUNGOMA-Utata katika kampuni ya sukari ya nzoia huku ikibainika kuwa wanabodi hukutana mara tatu kwa mwezi,shilingi takribani milioni 5 zikitumika katika marupurupu ya vikao hivyo
  • Tag:

    BUNGOMA-Utata katika kampuni ya sukari ya nzoia huku ikibainika kuwa wanabodi hukutana mara tatu kwa mwezi,shilingi takribani milioni 5 zikitumika katika marupurupu ya vikao hivyo

    Posted by: VANTAGE MUSIC RECORDS - August 07, 2019




    Baadhi ya viongozi pamoja na wakulima wa miwa  kwenye kaunti ya Bungoma sasa wanataka kampuni ya kusaga miwa ya Nzoia kubuni bodi mpya ili kufufua shughuli katika kampuni hiyo na kuangazia utumizi mbaya wa fedha na raslimali.
    Kwa mjibu wa jarida moja la humu nchini wanabodi wa sasa wamelaumiwa kwa tuhuma za kufuja pesa za kampuni hiyo bila kuangazia hasara.
    Inaarifiwa kuwa chini ya mwenyekiti wa bodi hiyo Joash Wamang’oli,wanabodi hukutana mara tatu kwa mwezi huku shilingi takribani  milioni 5 zikitumika katika marupurupu ya vikao hivyo kutoka kwenye akaunti ya kampuni hiyo.
    Gavana wa Bungoma Whycliffe Wangamati pamoja na mbunge wa Kanduyi Wafula Wamunyinyi wanadaiwa kuanzisha mikakati ya kubandua bodi hiyo ili kuinusuru kampuni hiyo.
    Bodi hiyo hivi maajuzi ilimteua Michael Makokha kama meneja mkurugenzi kufuatia kifo cha Michael Kulundu aliyekuwa akihudumu katika wadhifa huo.
    Hata hivyo Makoha amemlaumu Wamunyinyi huku akisema kuwa amekuwa na nia ya kumuharibia sifa na kung’atua kutoka uongozini bila sababu mahususi.







    — Share It —
    • Facebook
    • Twitter
    • Google+
    • Linkedin
    • Pin It

    About VANTAGE MUSIC RECORDS

    Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.

    Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
    Newer Post Older Post Home

    Recent in Sermons

    3/Sermons/post-list

    Blogger templates

    Slideshow

    3/recent/post-list

    Entertainment

     

    Copyright © . Designed HezronMarwa - 0796840560 HezronMarwa - 0796840560