Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

KAMPUNI YA G.D.C NAKURU YALAUMIWA KUWAAJIRI WATU KUTOKA NJE YA KAUNTI YA NAKURU NA KUWAACHA VIJANA BILA KAZI-MBUNGE WA BAHATI KIMANI NGUNJIRI

Vijana kwenye eneo la Wanyororo ndani ya kaunti ndogo ya Bahati leo wamefanya maandamano ya amani katika eneo la Maili Kumi, kwa kile wanachodai kunyimwa nafasi za ajira kwenye kampuni ya GDC iliyoko eneo la Menengai.

Wakiongozwa na Ronard Gachuhi, vijana hawa wamesema kuwa wafanyikazi kwenye kampuni hiyo hutolewa kwenye kaunti zingine, ilhali kuna vijana ambao wana ujuzi wa kufanya kazi kwenye kampuni hiyo lakini hawapati nafasi.

Ni kauli ambayo imeungwa mkono na mbunge wa Bahati Kimani Ngunjiri, ambapo amemulaumu mkurugenzi mkuu wa kampuni hiyo kwa kusema kuwa kampuni hiyo inafaa kuwafaidi wakaazi wa eneo hilo, bali si wakaazi wa kutoka kaunti zingine.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.