Aliyekuwa mwenyekiti wa kamati ya bunge kuhusu kilimo John
Mututho ameonya dhidi ya utumizi wa kemikali kwenye vyakula vinavyoliwa na
wakenya.
Mututho amesema kuwa wakenya wengi walikuwa wakikula bidhaa
zilizojaa kemikali na kuhatarisha maisha yao huku magonjwa kama vile saratani
yakiendelea kuongezeka.

Huku akiomboleza na familia ya gavana wa Bomet Joyce Laboso na
mbunge wa Kibra Ken Okoth, Mbunge huyo wa zamani wa Naivasha amesema mashirika
husika ya serikali yalifaa kukagua vyema vyakual vinavyoletwa kutoka nchi za
nje kama njia moja ya kulinda afya ya wakenya.
About VANTAGE MUSIC RECORDS
Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.