Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

WANANCHI WANAKULA MIZOGA BADALA YA NYAMA



Muungano wa madakitari wa mifugo nchini KVA umeelezea wasi wasi dhidi ya ongezeko la wanyama wanaochinjwa kwenye vichinjio wakiwa wagonjwa au wanaoletwa wakiwa wameaga dunia.

Mwenyekiti wa muungano huo Dkt Samuel Kahariri amesema kuwa mizoga ya wanyama hao ilikuwa ikipelekwa vichinjioni bila ya kujulikana huku wahusika wakiweka nyama hiyo kemikali ili kuonekana kama ni safi

Akizungumza na wanahabari mjini Naivasha, Kahariri amesema kulikuwa na haja ya serikali kuwaajiri wakaguzi wa nyama zaidi na kusema Kenya kwa sasa  ina vichinjio 2,500 lakini kuna wakaguzi mia tano pekee.

Vile vile mwenyekiti huyo amesema kuwa serikali ya kitaifa inafaa kuwaajiri madakitari wa mifugo hamsini ili kuweza kuchukua nafasi ya waliostaafu kote nchini.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.