Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

MOMBASA-Washukiwa 3 wa kikundi haramu cha Wakali kwanza watiwa mbaroni baada ya mashambulizi ya jana eneo la Bamburi Mombasa

PHOTE CREDIT :CITIZEN DIGITAL







Washukiwa watatu wa uvamizi ulifanywa eneo la Bamburi kaunti ya Mombasa  na kujeruhi watu 13 usiku wa kuamkia leo wametiwa mbaroni na maafisa wa polisi kutoka kituo cha polisi cha Kisauni.
Akizungumza na wanahabari,afisa mkuu wa polisi eneo la Kisauni Julius Kiragu amesema kuwa tatu hao Paul Ayub mwenye umri wa miaka 18,pamoja na wengine wawili walio chini ya miaka 18 wanazuliwa kwenye kituo cha  polisi cha Kadzandani   ili kuhojiwa kabala ya kufikishwa katika amahakama ya Shanzu.
Wamekamatwa na simu mbili pamoja na kifaa cha kuchaji simu maarufu power bank ambazo zinaaminik kuporwa kutoka eneo hilo jana usiku.
Watatu hao wanaaminika kuwa miongoni mwa wengi kwenye kikundi kimoja harami kwa jina Wakali kwanza waliotekeleza uvamizi huo.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.