Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

NAIROBI-Afisa wa GSU atiwa mbaroni kwa kukisiwa kumuua mwenzake kwenye uwanja wa ndege wa Wilson jijini Nairobi wiki jana



Afisa mmoja wa polisi wa utawala mwenye hadhi ya constable kwa jina Samson Morongo ametiwa mbaroni kuhusiana na tuhuma za mauaji ya mwenzake katika uwanja wa ndege wa Wilson siku ya jumamosi julai 27.
Kwa mjibu wa taarifa kutoka idara ya Jinai DCI ,Morongo alimpiga risasi marehemu Stephen Mkangi kabala ya kupeana habari za uongo kuwa  walivamiwa na watu wasiojulikana na waliowanyang’anya silaha zao.
Uchunguzi wa idara ya jinai umefaulu kudhihirisha kuwa Morongo  anahusiana na mauaji hayo kupitia mavazi yake yaliyo pelekwa katika eneo la mkasa na kuchunguzwa kutumia teknolojia ya kipekee ya uchunguzi wa jinai.
Atafikishwa mahakamani baada ya uchunguzi kukamilika.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.