Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

NAIVASHA-Mwanamke ajitoa uhai Naivasha baada ya kugunduliwa na saratani ya matiti



Mwanamke mmoja  mwenye umri wa miaka 40 mjini Naivasha amejitoa uhai baada ya kupatikana na ugonjwa wa saratani ya matiti.
Kwa mjibu wa jamaa zake mwanamke huyo kwa jina Purity Muthoni alijitia kitanza katika nyumba ya dada yake iliyoko eneo la Kasarani mijini humo baada ya kutoka katika hospitali ya Kenyatta ambapo alikuwa ameenda kupokea matibabu.
Marehemu ambaye ni mama wa watoto wawili amekuwa akitafuta matibabu kutoka hospitali mbali mbali nchini bila suluhisho.
OCPD wa Naivasha   Samuel waweru amethibitisha tukio hilo huku akisema kuwa mwili wa marehemu umesafirishwa hadi katika chumba cha kuhifadhi wafu kwenye hospitali ya kaunti ndogo ya Naivasha

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.