Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

NAKURU-Punguza mzigo yakataliwa Molo kaunti ya Nakuru


Madiwani wa zamani katika eneo bunge la Molo wamepuuzilia mbali juhudi za mswada wa punguza mzigo
Viongozi hao wa zamani wamesema mfadhili wa mswada huo dkt        Ekuru Aukot hakukusanya maoni ya wananchi katika taifa lote isipokuwa kukusanya sahihi alizowasilisha kwa tume ya uchaguzi IEBC.
Wakiongozwa na Njenga Matendo wamesema mpango wa Aukot haujatoa suluhu kwa matitizo ambayo yamekuwa yakigubika taifa baada ya uchaguzi
Viongozi hao wametaja maeneo ya bonde la ufa pamoja na nyanza kama maeneo ambayo yameshuhudia machafuko ya kisiasa kwa miaka mingi nchini

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.