Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

NAIROBI-Mwanamke ajifungulia ndani ya Texi ya UBER katika barabara ya Kimathi jijini Nairobi mapema leo

PICHA HISANI


Mwanamke mmoja amejifungua mtoto wake katika taxi moja ya UBER akikimbizwa hospitalini kaunti ya Nairobi mapema leo.
Mwanamke huyo amabye tumembana jina alikuwa akikimbizwa katika hospitali ya Nairobi West kabla ya kupokea malaika huyo ndani ya Taxi hiyo.
Inaarifiwa kuwa aliomba ruhusa kutoka kazini mapema leo kabaa ya kuzidiwa njiani,ambapo mwana taxi kwa jina Nelson Munene alimuona na  kumsaidia kufika hospitalini.
Hata hivyo wakiwa katika barabara ya Kimathi jijini humo alilemewa huku dereva huyo akiomba masaada alioupata kutoka kwa wapita njia pamoja na madakatari kutoka hospitali ya Meridian waliokuwa karibu nao.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.