Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

NAIVASHA:Mawaziri wawili wanachunguzwa kuhusiana na ufisadi katika mradi wa bwawa la Itare

Kiongozi wa mashtaka ya umma Noordin Haji sasa amesema kuwa maafisa wakuu wa shirika la ukiusanyaji ushuru nchini KRA wanachunguzwa kwa kuwasaidia wafanyibiashara kukwepa ushuru.
Akizungumza wakati wa mkutano wa idara yake mjini Naivasha, Haji amesema maafisa hao walikuwa wakishirikiana na wafanyibiashara kunyima Kenya ushuru wa pesa nyingi na kusema huenda watiwe mbaroni hivi karibuni.
Vile vile mkurugenzi huyo amesema idara yake inawachunguza  mawaziri wawili kuhusiana na mradi uliokwama wa maji wa bwawa la Itare ambao uligharimu shilingi bilioni 28 na haukufanyika.


About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.