Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

NAIROBI-Nyama ya Nyati ya gunduliwa sokoni Burma jijini Nairobi



Maafisa wa hudama kwa wanyama pori nchini wamekamata nyama yenye uzani wa kilo 200 inayokisiwa kuwa ya Nyati katika soko la Burma jijini Nairobi.
Kwa mjibu wa maafisa hao,Nyama hiyo inaaminika kutoka Naivasha eneo la Marula ambapo washukiwa watatu walikamatwa.
Watatu hao walikamatwa wakipakia nyama katika gari eneo hilo baada ya maafisa hao kuwavizia kufuatia taarifa kutoka kwa walinzi wa shamba hilo la Marula.
KWS kwa sasa imeorodhesha Naivasha kama chanzo cha nyama ya wanyama wa mwitu inayouzwa katika soko la Burma

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.