Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

MOMBASA-Serikali yabadilisha mawazo kuhusu agizo la kusafirisha mizigo kwa SGR pekee kutoka Mombasa

mtandao


Serikali imeondoa agizo la kuwataka wanabiashara wote kusafirisha shehena zote za mizigo kutoka Mombasa kwa kutumia reli ya kisasa SGR pekee.
Hatua hii inafuatia mkutano wa pamoja baina ya washikadau katika sekata ya usafiri wa reli na maafisa wa serikali ili kupeana muda wa majadiliano zaidi.
Awali bunge la taifa lilikuwa limemwandikia waziri wa  barabara na miundo msingi james Macharia kufika mbele ya kamati ya usafiri bungeni humo siku ya alhamisi kuangazia agizo hilo
Sheria  hiyo  iliyotolewa wiki jana ilifaa  kuanza kutekelezwa hii leo

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.