Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

VIHIGA-Naibu gavana wa Vihiga Patrick Siasi adai maisha yake yamo hatarini




Naibu wa gavana wa kaunti  ya Vihiga Patrick Siasi sasa anadai kuwa maisha yake yamo hatarini kufuatia tofauti zake na gavana wa kaunti hiyo Wilber Otichilo.
Siasi awali alikuwa amerekodi taarifa katika kituo cha polisi cha Kisumu central chini ya kamanda wa polisi wa kaunti hiyo Benson Maweu  kesi nambari   NO/ 034/21/07/019
Aidha mkuu huyo wa polisi amemshauri kuandikisha taarifa nyingine  katika kituo cha polisi cha Vihiga katika makao makuu ya Mbale. 
Wawili hao wamekuwa wakitupiana cheche za maneno huku akidai kudhalilishwa na gavana huyo.
Aidha naibu speaker Nickson Butiya amesema kuwa bunge la kauni hiyo limezamia swala hilo ili kuleta uuiano baina ya wawili hao.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.