Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

NAKURU-Wanasiasa wametakiwa kukoma kuingiza siasa katika vita dhidi ya ufisadi nchini


Viongozi wa kina mama katika baraza la viongozi wa jamii ya Agikuyu (Thingira )wamewasuta wanasiasa kwa cheche za matusi dhidi ya rais  kufuatia juhudi zake za kusitisha ufisadi na  kuunganisha wakenya nchini .
Wakiongozwa na Lucy Kibui  na wambui Wakiromo baada ya kikao chao cha majadiliano mjini Nakuru wamewataka  wanasiasa kukoma kuingiza siasa katika vita dhidi ya ufisadi na badala yake kumpongeza raisi kwa hatua zake na kumtaka kamwe kutolegeza kamba.
Aidha Wametaja  kuwa wanaunga mkono mpango wa   'building bridges' nchini wanaosema umefamikisha amani  baina ya jamii.
Kuhusiana na kura ya maoni wamesema wataunga mkongo mpangilio wowote  unaopelekea wote kushirikishwa kwa amani na maendeleo ya taifa hili .
wakati uo huo wamemtaka rais Kenyatta kutangaza ugonjwa wa saratani kuwa janga la kitaifakatika juhudi za kutafuta suluhu la kudumu.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.