Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

Gavana Jackson Mandago wa Uasin Ghishu ametoa wito kwa wamiliki wa majumba ya biashara kutathmini ubora wa majumba yao ili kuzuia majanga

Gavana wa Kaunti ya Uasin Gishu Jackson Mandago amelaumu umma haswa wamiliki wa vyumba vya kibiashara kwa matukio ya maporomoko ya vyumba akisema misingi ya vyumba hivyo hazichunguzwi.

Gavana Mandago anasema jamii imekua mstari wa mbele kupinga serikali za Kaunti na hata ya kitaifa wakati inapotekeleza wajibu wake wa kubomoa vyumba ambavyo haviafikii viwango vya binadamu.

Gavana huyo ameishauri jamii kukumbatia hatua za kuchunguzwa kwa makaazi yao na idara ya upangaji kabla watu hawajaanza kukodisha vyumba hivyo ambavyo sharti yawe na miundo uliothabiti.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.