Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

Serikali sasa imechapisha hati miliki ya ekari elfu moja zilizotengwa za kutumiwa kama bandari ya nchi kavu eneo la Mai Mahiu

Hii ni kufuatia ripoti za wafanyibiashara gushi waliokuwa na nia ya kuuza kipande hicho cha ardhi.
Haya yamejiri baada ya usimamizi wa shamba la Kedong ambako bandari hiyo inajengwa kuweka ilani  kwenye ardhi hiyo na ambayo imeshika kaunti za Nakuru na Narok ili isiuzwe.
Kulingana na naibu wa kamishna wa kaunti ndogo ya Naivasha Mbogo Mathioya, ardhi itakayojengwa bandari hiyo sasa imetengwa huku ujenzi wa ua ukiendelea.
Akizungumza na kituo hiki, Mathioya amesema Usimamizi wa kedong tayari umetoa takriban ekari elfu nne zitakazogawiwa wale watakaoondolewa kwenye ardhi itakayojengwa bandari hiyo na vile vile kujengewa shule na vifaa vingine.

About VANTAGE MUSIC RECORDS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.