Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

Afisa wa zamani wa polisi Leonard Kanari amepatikana na hatia ya kumuua Christopher Muganda afisa wa mauazo kutokana na mzozo wa kimapenzi, na kufungwa miaka sita gerezani.

Afisa wa zamani wa polisi amepatikana na hatia ya kuua afisa wa mauazo kutokana na mzozo wa kimapenzi, na kufungwa miaka sita gerezani.
Leonard Kanari amepatikana na hatia ya kumuua Christopher Muganda katika eneo la Kasarani kaunti ya Nairobi mwakani wa 2016.
Wakati akitoa hukumu hiyo, jaji Jesse Lessit amesema  Kanari alitumia nguvu zaidi wakati alimpiga risasi marehemu ambaye hakuwa amejihami.
Kanari anadaiwa kutekeleza hatia hiyo katika mtaa wa Garden kule  Kasarani usiku wa May 26 mwaka 2016.
Kulingana na Eddah Kamau aliyekuwa kwenye utandabui wa mapenzi hayo  ameambia mahakama kwamba alikuwa mpenzi wa Muganda tangia 2008 na wakabarikiwa na motto msichana.
 Jaji Lessit alikanusha madai ya mshukiwa Kanari kwamba alikuwa akijilinda kutokana na kushambuliwa na Muganda, ila akasema alimuua baada ya kumpata  katika nyumba ya Eddah.

About KELVIN WILLIAMS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.