Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

Nitaendlea kutembea na Ruto,wanaosema waseme tu-Spika wa seteni Ken Lusaka

Spika wa bunge la seneti Kenneth Lusaka amesema ataendelea kuandamana na naibu wa rais William Samoei Ruto katika ziara zake mbali mbali nchini.
Lusaka ametetea uwepo wake katika ziara za kisiasa na michango ya naibu rais haswa Magharibi mwa Kenya akisema yeye hufanya hivyo kama afisa wa serikali ila sio kama mfuasi wa dkt William Ruto.
Akiongea na jarida moja la hapa nchini, Lusaka amesema uwepo wake katika mikutano ya Ruto hauadhiri kwa vyovyote utendakazi wake kama spika wa bunge la seneti.
Lusaka alikuwa akirejelea madai ya baadhi ya wanasiasa kwamba uwepo wake katika mikutano hiyo unaliweka kwenye njia panda bunge la seneti.

About KELVIN WILLIAMS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.