Tume ya kuwaajiri waalimu nchini TSC imewaondoa waalimu wapatao 72,000 kutoka kwa orodha ya muungano wa waalimu wa KNUT.
Jarida
moja la hapa nchini linasema baada ya mahakama ya leba kuishurutisha TSC
kusalimisha kwa KNUT pesa inazokata waalimu, TSC ilikata kiasi cha milioni 83
kutoka kwa waalimu 115,000.
Hapo
awali Knut ilikuwa na wanachama wapatao 187,000 waliokuwa wakichangia muungani
huo hadi kiasi cha shilingi milioni 140 kila mwezi.
Hii ina maanisha kwamba kwa mwezi wa septemba pekee, KNUT imepoteza jumla ya shilingi milioni 57.
Hii ina maanisha kwamba kwa mwezi wa septemba pekee, KNUT imepoteza jumla ya shilingi milioni 57.
Kutokana
na mkanganyo huo, KNUT imeripotiwa kufanya mkutano wa udharura hiyo jana
kujadili swala hilo, huku fedha walizostahili kupokea katika miezi ya Julai na
Agosti zikiendelea kuibua sintofahamu.
Hata
hivyo katibu mkuu wa KNUT Wilson Sossion anasema muungano huo unafanya
mazungumzo na TSC.
About KELVIN WILLIAMS
Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.