Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

Mwanamume mmoja na ambaye ni baba wa watoto watano ajitoa uhai kwa kujinyonga Kinamba mjini Naivasha.

Kulikuwa na hali ya hofu katika kijiji cha Kinamba mjini Naivasha baada ya mwanamume mmoja na ambaye ni baba wa watoto watano kujitoa uhai kwa kujinyonga.
Mwili wa mwendazake umepatikana hii leo na wakazi waliokuwa wakielekea kazini huku polisi wakifika na kuuchukua mwili huo.
Kulingana na mkazi mmoja John Mbugua, mwendazake amekuwa akiugua kwa muda mrefu na aliwaarifu marafiki wake alichokuwa akipania kufanya baada ya kutambuwa kuwa ugonjwa aliokuwa nao haungepona.
OCPD wa Naivasha Samuel Waweru amedhibitisha tukio hilo na kusema mwili huo umechukuliwa na kupelekwa katika mochari ya hospitali kuu ya kaunti ndogo ya Naivasha ukisubiri kufanyiwa upasuaji.

About KELVIN WILLIAMS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.