Powered by Blogger.

Header Ads


Tag:

VIJANA WENGI HAWAPENDI TAALUMA YA UALIMU NA HUENDA WALIMU WAKAKOSEKANA SIKU ZIJAZO





Shirika lisilo la (UNESCO) limegadhabishwa na uchache wa vijana wenye nia ya kuwa walimu humu nchini.
Kulingana na Monicah Rotich kutoka shirika hilo,idadi yavijana  wanaojiunga na taaluma ya uwalimu huenda ikapungua iwapo  hawatelimishwa kuhusu umuhimu wa  taaluma hiyo.
Akiongea katika shule ya walimu ya Tambach katika  eneo bunge la Keiyo Kaskazini , Rotich ameongeza kuwa wengi wa vijana hawajajiunga na taaluma hiyo kwa sababu ya changamoto wanazopitia walimu humu nchini.
Vile vile ameomba serikali kuona kuwa maswala ya walimu imeangaziwa kama njia moja ya kuhimarisha sekta ya elimu humu nchini. 

About KELVIN WILLIAMS

Hi, My Name is Hafeez. I am a webdesigner, blogspot developer and UI designer. I am a certified Themeforest top contributor and popular at JavaScript engineers. We have a team of professinal programmers, developers work together and make unique blogger templates.